Lugha Nyingine
Kazi za uokoaji na urejeshaji hali ya kawaida zaendelea katika Mkoa wa Hubei, China baada ya kukumbwa na Kimbunga Pomboo
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Agosti 13, 2026
Mvua kubwa na mafuriko yaliyosababishwa na Kimbunga Pomboo , ambacho ni kimbunga cha 13 kutokea China mwaka huu, vimekumba maeneo mengi ya mashariki na katikati mwa China. Serikali za mitaa za maeneo hayo zinafanya juhudi zote za kuondoa hatari zinazoweza kutokea na kurejesha maisha ya watu katika hali ya kawaida.
(Wahariri wa tovuti:Liu Mengxue,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma




