Lugha Nyingine
Meli ya Sandu ya Walinzi wa Pwani ya China yafanya doria kwenye Bahari ya Kusini mwa China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Machi 13, 2026
![]() |
| Askari akionekana kwenye mazoezi ya ushirikiano kati ya vikosi akiwa kwenye meli ya Sandu ya Walinzi wa Pwani ya China (CCG) katika Bahari ya Kusini mwa China, Februari 28, 2026. (Xinhua/Mao Jun) |
Meli ya Sandu ya Walinzi wa Pwani ya China (CCG) ilifanya doria katika Bahari ya Kusini mwa China ili kulinda mamlaka ya nchi ya China na haki na maslahi yake ya baharini.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma




