

Lugha Nyingine
Njia ya moja kwa moja ya kusafirisha makontena kwa meli yaunganisha Miji ya Qingdao, China na Jeju, Korea Kusini
QINGDAO - Njia ya moja kwa moja yenye ratiba ya kudumu ya kusafirisha makontena kwa meli kati ya Mji wa Qingdao wa China na Mji wa Jeju wa Korea Kusini imezinduliwa rasmi jana Alhamisi ambapo njia hiyo ya usafirishaji wa haraka itafanya usafiri wa mara moja kwa wiki katika kipindi chake cha mwanzo, ikiongeza kwa kiasi kikubwa uchukuzi wa mizigo kati ya miji hiyo miwili.
Njia hiyo pia inatarajiwa kupunguza kwa ufanisi gharama za uchukuzi, na kuongeza zaidi vituo vya uchukuzi wa mzigo kwenye mtandao wa usafirishaji kwa meli wa Mkoa wa Shandong, mashariki mwa China hadi Korea Kusini.
Misri yafunga Jumba la Makumbusho Kuu la Misri kwa ajili ya kufunguliwa rasmi
Mwezi mpevu wavutia kote China wakati wa Sikukuu ya Mbalamwezi ya China
Wanasarakasi wafanya maonyesho katika Eneo la Ulimwengu wa Sarakasi la Wuqiao mjini Cangzhou, China
Sikukuu ya mavuno ya wakulima yaadhimishwa katika Mkoa wa Xizang, China
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma