

Lugha Nyingine
Utandazaji njia ya reli ya mwendokasi inayounganisha Xi'an na Yan'an katika Mkoa wa Shaanxi, China wakamilika
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 02, 2025
![]() |
Wafanyakazi wakifanya kazi ya ujenzi katika Stesheni ya Reli ya Yan'an mjini Yan'an, Mkoa wa Shaanxi, kaskazini-magharibi mwa China, Julai 1, 2025. (Xinhua/Zhang Bowen) |
Utandazaji njia ya reli ya mwendokasi inayounganisha miji ya Xi'an na Yan'an katika Mkoa wa Shaanxi, kaskazini-magharibi mwa China umekamilika rasmi jana Jumanne Julai 1, 2025. Mara baada ya kuzinduliwa, reli hiyo mpya itafupisha muda wa usafiri kati ya miji hiyo ya Xi'an na Yan'an kutoka saa 2.5 hadi saa moja hivi.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kituo cha mafunzo cha Bajiquan mkoani Hebei, China chakaribisha wanafunzi kutoka Russia
Picha: Mandhari ya mbuga katika majira ya joto mkoani Gansu, China
Bustani ya Kimataifa ya Pump Track ya Shenyang, China: Utambulisho Mpya wa Michezo Mjini
Ukumbi wa Kuutazama Mji wa “Kilele cha Tianjin” wa China wafunguliwa rasmi kwa umma
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma