

Lugha Nyingine
Picha: Mandhari ya mbuga katika majira ya joto mkoani Gansu, China (6)
Kwa sasa ni kipindi cha katikati mwa majira ya joto nchini China, ambapo mbuga za Sangke, zinazopatikana katika Wilaya ya Xiahe, Eneo linalojiendesha la Kabila la Watibeti la Gannan, Mkoa wa Gansu nchini China, zimeingia katika wakati wa kupendeza zaidi wa mwaka.
Mbuga hizo za Sangke ziko kwenye wastani wa mwinuko wa mita 3,000 kutoka usawa wa bahari, zikiwa kama zulia kubwa la kijani kati ya mbingu na ardhi. Makundi ya mifugo ya ng’ombe na mbuzi hutembea polepole, ikionesha picha ya mapatano ya mazingira ya asili. (Picha na Xi Juanjuan/People’s Daily Online)
Bustani ya Kimataifa ya Pump Track ya Shenyang, China: Utambulisho Mpya wa Michezo Mjini
Ukumbi wa Kuutazama Mji wa “Kilele cha Tianjin” wa China wafunguliwa rasmi kwa umma
Kuendeleza urithi wa utamaduni usioshikika wa China - ustadi wa kutengeneza chai ya Taiping Houkui
Njia mpya za uendeshaji wa droni zaanza kutumika katika Mji wa Wuhan katikati mwa China
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma