

Lugha Nyingine
Rais Xi akipongeza Chuo Kikuu cha Kilimo cha China kwa kuadhimisha miaka 120 tangu kuanzishwa kwake
Rais Xi Jinping wa China ametoa pongezi kwa wahadhiri, wanafunzi na wahitimu wa zamani wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha China (CAU), kwa maadhimisho ya miaka 120 tangu kuanzishwa kwa chuo hicho, akitoa wito kwake kutoa wataalam wengi wenye ujuzi na ari ya kilimo.
Katika barua ya majibu kwa wahadhiri na wanafunzi wake, Rais Xi, amekihimiza chuo cha CAU kutoa mchango mpya katika kujenga nguvu ya China kwenye kilimo na kusukuma mbele ujenzi wa mambo ya kisasa wa China.
Misri yafunga Jumba la Makumbusho Kuu la Misri kwa ajili ya kufunguliwa rasmi
Mwezi mpevu wavutia kote China wakati wa Sikukuu ya Mbalamwezi ya China
Wanasarakasi wafanya maonyesho katika Eneo la Ulimwengu wa Sarakasi la Wuqiao mjini Cangzhou, China
Sikukuu ya mavuno ya wakulima yaadhimishwa katika Mkoa wa Xizang, China
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma