Uganda yaibuka kuwa muuzaji mkubwa zaidi nje wa kahawa barani Afrika

(CRI Online) Juni 25, 2025

Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ya Uganda imesema, nchi hiyo imeipiku Ethiopia na kuwa muuzaji mkubwa zaidi nje wa kahawa barani Afrika.

Taarifa iliyotolea jana Jumanne na Wizara hiyo imesema, mwezi Mei Uganda ilisafirisha kuuza nje magunia 793,445 ya kahawa yenye jumla ya uzito wa tani 47,606.7, kiasi ambacho kimezidi kile cha Ethiopia, na kujipatia mapato ya dola za kimarekani milioni 243.

Taarifa hiyo imeongeza kuwa mafanikio hayo yanaonesha mabadiliko makubwa ya miundo ya biashara ya kahawa barani Afrika.

Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ya Uganda imesema, nchi hiyo imeipiku Ethiopia na kuwa muuzaji mkubwa zaidi nje wa kahawa barani Afrika.

Taarifa iliyotolea jana Jumanne na Wizara hiyo imesema, mwezi Mei Uganda ilisafirisha kuuza nje magunia 793,445 ya kahawa yenye jumla ya uzito wa tani 47,606.7, kiasi ambacho kimezidi kile cha Ethiopia, na kujipatia mapato ya dola za kimarekani milioni 243.

Taarifa hiyo imeongeza kuwa mafanikio hayo yanaonesha mabadiliko makubwa ya miundo ya biashara ya kahawa barani Afrika.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha